iqna

IQNA

Sura za Qur'ani Tukufu /64
TEHRAN (IQNA) – Wakati mwingine sisi mara tu baada ya kufanya jambo fulani hujuta na kujaribu kufidia kile tulichokosea. Lakini itakuja siku ambayo majuto na makosa yetu hayawezi kurekebishwa au kutufaidisha.
Habari ID: 3476654    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/04